KICHEKOMASIHARA
Member
- Oct 5, 2019
- 36
- 33
Wadau wa psychology, ninaomba ushauri wenu wa ndoa.
Mume au mke anapoachana na mwenza wake wa ndoa anatakiwa kiafya ya ubongo na mwili achukue muda gani wa mapumziko kabla ya kuingia mahusiano mapya ya ndoa?
Naomba msaada wenu.
Mume au mke anapoachana na mwenza wake wa ndoa anatakiwa kiafya ya ubongo na mwili achukue muda gani wa mapumziko kabla ya kuingia mahusiano mapya ya ndoa?
Naomba msaada wenu.