Naomba ushauri Samsung Galaxy au Blackberry

Naomba ushauri Samsung Galaxy au Blackberry

Enny

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2009
Posts
962
Reaction score
131
Habari wana JF. Naomba ushauri wenu nataka kununua simu nzuri kwaa jili ya internet , kudownload vitu.

je simu gani nzuri ninunue kati ya samsung galaxy na Blackberry? Pia nitajuaje kama ni original?

Asante
 
Nunua samsung galaxy na kama una pesa nunua blackberry Z 10....samsung ina android ina support application nying sana kwa uchumu wetu...

Kuchek kama ni orignal just dial *#06# kama imei itaanza na 35 basi simu ni orignal kama tofauti na hapo kimeo...kuna namna nyingine pia ngoja wadau waje
 
Nunua samsung galaxy na kama una pesa nunua blackberry Z 10....samsung ina android ina support application nying sana kwa uchumu wetu...

Kuchek kama ni orignal just dial *#06# kama imei itaanza na 35 basi simu ni orignal kama tofauti na hapo kimeo...kuna namna nyingine pia ngoja wadau waje

Asante sana kwa ushauri wako. Na katika hizo Samsung Galaxy ni ipi inafaa
 
Bajeti yangu ni laki nne
 
Nunua samsung galaxy na kama una pesa nunua blackberry Z 10....samsung ina android ina support application nying sana kwa uchumu wetu...

Kuchek kama ni orignal just dial *#06# kama imei itaanza na 35 basi simu ni orignal kama tofauti na hapo kimeo...kuna namna nyingine pia ngoja wadau waje
Tecno inaanza na 86, ha ha ha nimecheki hapo nikatest Kama ni original
 
Usije ukajisumbua kununua blackberry. Amdroid ndo mpango mzima mwaya....#talkin from experience

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
 
Nunua samsung galax hata hi pia ninzuri sana kwa upande wa intanet na apll
 

Attachments

  • 1379665089976.jpg
    1379665089976.jpg
    14 KB · Views: 144
Chukua Samsung Galaxy mkuu,achana na BlackBerry!

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
chukua samsung galaxy star,ni nzuri na bei yake ni nafuu
 
Nawashukuru wote mlionipa ushauri .
 
Bajeti yangu ni laki nne

Kama una laki nne nakushauri uchukue samsung galaxy nexus yenye dual core processor, internal memory ya 16GB, 1GB RAM na inarun latest android version 4.3 Jelly Bean. Unaweza kununua online kupitia ebay na akama ukiitaka kuinunua kwa huku bongo unaweza kuipata kuanzia laki tano hadi saba.
 
Kama una laki nne nakushauri uchukue samsung galaxy nexus yenye dual core processor, internal memory ya 16GB, 1GB RAM na inarun latest android version 4.3 Jelly Bean. Unaweza kununua online kupitia ebay na akama ukiitaka kuinunua kwa huku bongo unaweza kuipata kuanzia laki tano hadi saba.
Wakati amekwambia budget yake laki 4!!
 
Back
Top Bottom