Uwezo wako wa kusoma PGM au PCB ni mdogo,jaribu kombi nyingine brooo,tumepita hukoo!!!Msitu wa Physics ya Advance Si Mchezo
sikweli kama mtu akifeli phz au math olevel inamaana anauwezo mdogo!yapo mambo mengi yanayo changia mwfnz kutokufanya vizuri ikiwemo uhaba wa walimu wa masomo husika na miundoombinu mbalimbali.