Naomba ushauri: Nataka kurudia kidato cha tatu

Naomba ushauri: Nataka kurudia kidato cha tatu

Kanungila Karim

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2016
Posts
20,746
Reaction score
25,639
Mimi ni kijana wa miaka 19 Baada ya kumaliza kidato cha 4 mwaka 2014 katika shule ya serikali na kupata GPA 0.6
Yaani
Math F
Civics E
Kiswahili C
Geography F
History D
Biology F
E.Language D

Sasa nataka mwakani niende kidato cha 3 kusoma ili nitafute C mbili ili nisome kidato cha 5.

Swali langu ni hivi je nikienda shule ya sekondari ya serikali nikasome kisha nijisajili kama mtihaniwa binafsi je watanikubalia?
 
Unaweza kujisajili kama private candidates kufanya mtihani tu ila ukienda private school utasoma upya kama mwanafunzi kama unapenda kusoma nenda kusoma dunia hii watu wanafanya vitu wanavyovipenda
 
Mimi ni kijana wa miaka 19 Baada ya kumaliza kidato cha 4 mwaka 2014 katika shule ya serikali na kupata GPA 0.6
Yaani
Math F
Civics E
Kiswahili C
Geography F
History D
Biology F
E.Language D

Sasa nataka mwakani niende kidato cha 3 kusoma ili nitafute C mbili ili nisome kidato cha 5.

Swali langu ni hivi je nikienda shule ya sekondari ya serikali nikasome kisha nijisajili kama mtihaniwa binafsi je watanikubalia?
Serikalini huna sifa tena dogo, jitahidi tu jisajili kama pc
 
Unaweza kujisajili kama private candidates kufanya mtihani tu ila ukienda private school utasoma upya kama mwanafunzi kama unapenda kusoma nenda kusoma dunia hii watu wanafanya vitu wanavyovipenda
Serikalin wanaweza wakanipokea?
 
Unaweza kuzipata hizo C mbili na bado ukashindwa kwenda 5
Kwani hujasikia mwaka huu wenye three ya 24 na 25 hawakuchaguliwa
Kwa ushauri tu nenda ukajisajiri kama PC au rudia form one kabisa
 
Unaweza kuzipata hizo C mbili na bado ukashindwa kwenda 5
Kwani hujasikia mwaka huu wenye three ya 24 na 25 hawakuchaguliwa
Kwa ushauri tu nenda ukajisajiri kama PC au rudia form one kabisa
Hebu toa ushauri unao eleweka hujui anaweza kurudia naakagonga one
 
Unaweza kuzipata hizo C mbili na bado ukashindwa kwenda 5
Kwani hujasikia mwaka huu wenye three ya 24 na 25 hawakuchaguliwa
Kwa ushauri tu nenda ukajisajiri kama PC au rudia form one kabisa
Arudie form one A au B???
 
Mimi ni kijana wa miaka 19 Baada ya kumaliza kidato cha 4 mwaka 2014 katika shule ya serikali na kupata GPA 0.6
Yaani
Math F
Civics E
Kiswahili C
Geography F
History D
Biology F
E.Language D

Sasa nataka mwakani niende kidato cha 3 kusoma ili nitafute C mbili ili nisome kidato cha 5.

Swali langu ni hivi je nikienda shule ya sekondari ya serikali nikasome kisha nijisajili kama mtihaniwa binafsi je watanikubalia?
kabla sijakujibu naombA nikuulize ni kwamba lengo lako usomee kitu gani katika level ya chuo?
 
Umekaa miaka 4 darasani ndo ukapata hayo matokeo wewe hataukirudia tena matokeo yatakuwa hayo hayo acha kupoteza muda jichanganye veta kagonge fani yoyote unayoipenda mambo yatakaa poa tu!
 
Umekaa miaka 4 darasani ndo ukapata hayo matokeo wewe hataukirudia tena matokeo yatakuwa hayo hayo acha kupoteza muda jichanganye veta kagonge fani yoyote unayoipenda mambo yatakaa poa tu!
kuna rafiki yangu alipata division four ya 32 lakini alirudia form three akaja kupata division one ya 16. Hivyo usimvunje moyo huyu dogo. Akiweka nia atapasua vizuri tu. Dogo nakushauri rudia tu hiyo form three uiwekee nia najua utafanikiwa. Ukizingatia umri bado unaruhusu. Nenda private hasahasa.
 
Mimi ni kijana wa miaka 19 Baada ya kumaliza kidato cha 4 mwaka 2014 katika shule ya serikali na kupata GPA 0.6
Yaani
Math F
Civics E
Kiswahili C
Geography F
History D
Biology F
E.Language D

Sasa nataka mwakani niende kidato cha 3 kusoma ili nitafute C mbili ili nisome kidato cha 5.

Swali langu ni hivi je nikienda shule ya sekondari ya serikali nikasome kisha nijisajili kama mtihaniwa binafsi je watanikubalia?
Af mbona kama hii system ya kuunga vyeti haipo tena saivi coz ukiamua kurudia maana yake kile cheti cha kwanza kinakuwa invalid so kama umeamua kurudia tafuta C tatu tu wala sio mbili usitegemee kuja kuunga cheti.
 
kuna rafiki yangu alipata division four ya 32 lakini alirudia form three akaja kupata division one ya 16. Hivyo usimvunje moyo huyu dogo. Akiweka nia atapasua vizuri tu. Dogo nakushauri rudia tu hiyo form three uiwekee nia najua utafanikiwa. Ukizingatia umri bado unaruhusu. Nenda private hasahasa.
nashukuru sana kwa ushauri wako tatizo ni kwamba hapa nilipo ni ugenini naishi na kaka yangu mtoto wa bawh mkubwa na isitoshe wazaz wangu hawawoweza kunilipia hela ya kwenda private
 
Af mbona kama hii system ya kuunga vyeti haipo tena saivi coz ukiamua kurudia maana yake kile cheti cha kwanza kinakuwa invalid so kama umeamua kurudia tafuta C tatu tu wala sio mbili usitegemee kuja kuunga cheti.
poa tu hakuna noma nipo tayari
 
Ukiwa mzee wa kazi rudia tu utatoboa lakini usiwe mtu wa taarabu. Quote kuna dogo huku uswahili alifail kidato cha 4 2012 alirudia form 1 now yupo form 4 sema Ana mambo mengi so obvious ndarichako ataruka nae tena kisamaki.
 
Back
Top Bottom