Wewe ni hasara kwako na familia yako, huna kazi unawaza starehe?Nina mpenzi wangu msichana mzuri tu ambae anafanya kazi shule moja ya secondary ila mm sina kazi npo tu mtaani Nina komaa na kibishi, sasa kinachofanyika yule demu wangu ambae ni mpenzi wangu kabadilika kama wiki kazaa zilizopita, nikimtumia SMS hajibu kwa mda, nkimtumia SMS kwa WhatsApp baada ya mda itaonesha Derivering kuwa imesomwa lakin haijibiwi, mda mwingine nikimpigia simu hapokea, nmejaribu kumuuliza shida nn anasema Yuko bizy, kibaya zaidi nikimwomba game ananiambia hana mda wa kufanya hivyo, yaan ninampenda huyu bint ila inaniuma sana. Naomba ushauri wako nifanyaje!!
Katika kuhangaika na shule, nilikuwa nchi Fulani, basi kuna kaka wa kinigeria jirani yangu aliambia yeye anatoka na wazungu tu kwa majisifu mengi. Kuna siku nilifanikiwa kumuona na girlfriend mzungu, ni wale drug users, wamepinda. Jamani kumbe ndiyo aina ya watu niliokuwa ninasifiwa.How come wanawake hawakusumbui, ila bado unatumia energy kubwa sana kutuaminisha? Kila wakitajwa una machungu hatari, niaje eroo?
Kugegedwa au kugegedana mkuuSafi mwanawane...wanawake ni kugegedwa tuu hamna jingine.
Yaaani mkuu nimesoma hadi hapo SINA KAZI ,NIPO TUU MTAA NAKOMAA KIBISHI..Nina mpenzi wangu msichana mzuri tu ambae anafanya kazi shule moja ya secondary ila mm sina kazi npo tu mtaani Nina komaa na kibishi, sasa kinachofanyika yule demu wangu ambae ni mpenzi wangu kabadilika kama wiki kazaa zilizopita, nikimtumia SMS hajibu kwa mda, nkimtumia SMS kwa WhatsApp baada ya mda itaonesha Derivering kuwa imesomwa lakin haijibiwi, mda mwingine nikimpigia simu hapokea, nmejaribu kumuuliza shida nn anasema Yuko bizy, kibaya zaidi nikimwomba game ananiambia hana mda wa kufanya hivyo, yaan ninampenda huyu bint ila inaniuma sana. Naomba ushauri wako nifanyaje!!
Hata mimi siku hizi naona kwa joanah wangu hali siyo shwari tena!Kashapata mwingine
Wewe hupendwi
.......hawa mbwa mwitu wanaomwiba joanah wangu huko pm na walaaniwe!
Katika kuhangaika na shule, nilikuwa nchi Fulani, basi kuna kaka wa kinigeria jirani yangu aliambia yeye anatoka na wazungu tu kwa majisifu mengi. Kuna siku nilifanikiwa kumuona na girlfriend mzungu, ni wale drug users, wamepinda. Jamani kumbe ndiyo aina ya watu niliokuwa ninasifiwa.
Mtani bhana...Tafuta pesa wewe!!
Kuna kujisifia tu kama mzee wa yuesiei baby, hiyo kesi ya m-Nigeria ndiyo inaweza kum-fit. Jamaa yetu huyu yeye ana machungu zaidi ya majisifu..
How come wanawake hawakusumbui, ila bado unatumia energy kubwa sana kutuaminisha? Kila wakitajwa una machungu hatari, niaje eroo?
Ukiona manyoya ujue kaliwa mkuuNina mpenzi wangu msichana mzuri tu ambae anafanya kazi shule moja ya secondary ila mm sina kazi npo tu mtaani Nina komaa na kibishi, sasa kinachofanyika yule demu wangu ambae ni mpenzi wangu kabadilika kama wiki kazaa zilizopita, nikimtumia SMS hajibu kwa mda, nkimtumia SMS kwa WhatsApp baada ya mda itaonesha Derivering kuwa imesomwa lakin haijibiwi, mda mwingine nikimpigia simu hapokea, nmejaribu kumuuliza shida nn anasema Yuko bizy, kibaya zaidi nikimwomba game ananiambia hana mda wa kufanya hivyo, yaan ninampenda huyu bint ila inaniuma sana. Naomba ushauri wako nifanyaje!!