Naomba ushauri kwa hili.

Naomba ushauri kwa hili.

Shabani issa

Member
Joined
Oct 29, 2012
Posts
6
Reaction score
1
Hi members i'm new in dis forum.kuna dada mmoja nilisoma nae o-level baada ya kumaliza tulibadilishana cöntact na kuanza kuwasiliana,bfr hapo nilikuw nampenda lkn ckuwah kumtell nikiw a-level nikamtrace,akanizungusha wee then akaja kunitell kama kuna mwenzang kashawah na ametangaza nia ya kuoa nikakubal matokeo but akaniambia nickate tamaa kwan jamaa hamuelew mana hana mawaclian mazur nae,baada ya muda still nawacliana nae akanitaarif kuw jamaa kam2mia msg kwmb wasitishe uhusiano kw sbb csieleweka na akanionesha msg ya jamaa.kuöna hvyo nikamuuliza vp naweza kupata nafac?akanijib nisubir.baada ya muda flan akanitell kwmb jamaa karudisha moyo but hamuamin, m2 mzm nikamwambia haina shida.cha ajab ananiambia kwmb nicwaze huenda nikawa wake 2kazaa watoto niondoe hofu, kw upande wa mshkaj bado hajavunja nia ya kumuoa huyo demu na nikimwambia nimevunja nia yangu huwa analia pia jamaa hajawah mpeleka kwao but mi anataka nikimaliza masmo 2 niende kwao direct na kasema atanipeleka mwenyew.wanajamvi mnalionaje hili?
 
Hi members i'm new in dis forum.kuna dada mmoja nilisoma nae o-level baada ya kumaliza tulibadilishana cöntact na kuanza kuwasiliana,bfr hapo nilikuw nampenda lkn ckuwah kumtell nikiw a-level nikamtrace,akanizungusha wee then akaja kunitell kama kuna mwenzang kashawah na ametangaza nia ya kuoa nikakubal matokeo but akaniambia nickate tamaa kwan jamaa hamuelew mana hana mawaclian mazur nae,baada ya muda still nawacliana nae akanitaarif kuw jamaa kam2mia msg kwmb wasitishe uhusiano kw sbb csieleweka na akanionesha msg ya jamaa.kuöna hvyo nikamuuliza vp naweza kupata nafac?akanijib nisubir.baada ya muda flan akanitell kwmb jamaa karudisha moyo but hamuamin, m2 mzm nikamwambia haina shida.cha ajab ananiambia kwmb nicwaze huenda nikawa wake 2kazaa watoto niondoe hofu, kw upande wa mshkaj bado hajavunja nia ya kumuoa huyo demu na nikimwambia nimevunja nia yangu huwa analia pia jamaa hajawah mpeleka kwao but mi anataka nikimaliza masmo 2 niende kwao direct na kasema atanipeleka mwenyew.wanajamvi mnalionaje hili?

u a not seriouz, jamaa akimuoa c utakua umepoteza muda! hakuna kitu muhimu duniani kama muda.
 
hujawahi kuvutiwa na wanawake wengine zaidi ya huyo bi dada?
kuwa makini mkuu unaweza jikuta unapoteza muda wako bure maana kuna kila dalili huyo dada hakuhitaji kwa sasa, anakutumia kama faraja tu kwake pindi anapokosana na mwenzi wake.
 
Tafuta mtu mwingine,huyo hakufai, maana anakufanya mbadala wake.
 
Nilidhani ni gari tu ndizo zinahitaji spea Tyre!! kumbe hata kijana kama wewe unakubali kufanywa plan B Option? huko vyuoni Wasichana wamekwisha?
 
hujawahi kuvutiwa na wanawake wengine zaidi ya huyo bi dada?
kuwa makini mkuu unaweza jikuta unapoteza muda wako bure maana kuna kila dalili huyo dada hakuhitaji kwa sasa, anakutumia kama faraja tu kwake pindi anapokosana na mwenzi wake.

thanks kw ushauri umenifungua macho.
 
pole kaka ila kwa upande wangu mimi naona huyo dada mwenyewe hana msimamo, usipoteze Muda kabisa kwani hata ukiwa nae baadae huyo mshikaji akimtokea atakumwaga tu tena. piga moyo konde songa mbele utapata wa ukweli
 
ulivyojieleza km hujitambui,

nyie ndo mnaojinyonga kisa dem kakutema!!!!!!
 
hi members i'm new in dis forum.kuna dada mmoja nilisoma nae o-level baada ya kumaliza tulibadilishana cöntact na kuanza kuwasiliana,bfr hapo nilikuw nampenda lkn ckuwah kumtell nikiw a-level nikamtrace,akanizungusha wee then akaja kunitell kama kuna mwenzang kashawah na ametangaza nia ya kuoa nikakubal matokeo but akaniambia nickate tamaa kwan jamaa hamuelew mana hana mawaclian mazur nae,baada ya muda still nawacliana nae akanitaarif kuw jamaa kam2mia msg kwmb wasitishe uhusiano kw sbb csieleweka na akanionesha msg ya jamaa.kuöna hvyo nikamuuliza vp naweza kupata nafac?akanijib nisubir.baada ya muda flan akanitell kwmb jamaa karudisha moyo but hamuamin, m2 mzm nikamwambia haina shida.cha ajab ananiambia kwmb nicwaze huenda nikawa wake 2kazaa watoto niondoe hofu, kw upande wa mshkaj bado hajavunja nia ya kumuoa huyo demu na nikimwambia nimevunja nia yangu huwa analia pia jamaa hajawah mpeleka kwao but mi anataka nikimaliza masmo 2 niende kwao direct na kasema atanipeleka mwenyew.wanajamvi mnalionaje hili?



daah
kakufanya spair tYre sio??
 
Back
Top Bottom