spongy
Member
- Feb 25, 2019
- 61
- 59
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza mimi nimpambanaji mdogo baada ya kuingia porini kutafuta mtaji wa mil.4 nikaingia mjini kufanya ziara yangu; niliifanya Kanda ya Ziwa, kuna biashara niliipenda kuifanya, ya ng’ombe.
Nilikuwa naomba ushauri wa changamoto za biashara hii naitaji nianze na mil 2 tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikuwa naomba ushauri wa changamoto za biashara hii naitaji nianze na mil 2 tu.
Sent using Jamii Forums mobile app