Mkwawa mnyalukoro
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 232
- 136
Habari za asubuhi, mimi nina tatizo la muda mrefu kama miaka mitatu tatizo nililonalo NI mdomo kuwa na Radha ya uchachu, viungo vya mwili kuuma, uchovu kupindukia, tumbo kuunguruma, nimekunywa dawa za hospitalin nyingi ikiwemo HELIGOKIT KIT lakin sipati nafuu.
Juzi nikaenda hospital kubwa ya Ikonda kufanya check up wakanipima Choo na kuingizwa mpira wenye kamera tumbon ENDOSCOPY wakasema Nina michubuko tumbon na pia kipimo cha Choo kikaonekana Nina bacteria WA HPYROL wakaniambia Nina vidonda vya tumbo wakanipa HELIGOKIT,Pantaprazole nimemaliza lkn Hali yangu ipo vile vile mpk nimekata tamaa.
Kwa mwenye MSAADA TAFADHARI
Juzi nikaenda hospital kubwa ya Ikonda kufanya check up wakanipima Choo na kuingizwa mpira wenye kamera tumbon ENDOSCOPY wakasema Nina michubuko tumbon na pia kipimo cha Choo kikaonekana Nina bacteria WA HPYROL wakaniambia Nina vidonda vya tumbo wakanipa HELIGOKIT,Pantaprazole nimemaliza lkn Hali yangu ipo vile vile mpk nimekata tamaa.
Kwa mwenye MSAADA TAFADHARI