Habarini!
Nilikuwa naomba msaada kidogo kuhusu hizi sheria za mtandaoni kuhusu kuwa na maudhui ya kimtandao ( online contents ).
Hivi nikiwa namiliki au nataka kumiliki blogu natakiwa kulipia ile laki moja ya usajili kwanza kisha nilipe ile milioni 3 kwa awamu awamu.
Nimejaribu kuzisoma hizo sheria nimetoka kapa maana zipo kwenye lugha ya kingereza na kingereza cha kisheria kidogo sio kirahisi sana
Naomba kuwasilisha!!
Nilikuwa naomba msaada kidogo kuhusu hizi sheria za mtandaoni kuhusu kuwa na maudhui ya kimtandao ( online contents ).
Hivi nikiwa namiliki au nataka kumiliki blogu natakiwa kulipia ile laki moja ya usajili kwanza kisha nilipe ile milioni 3 kwa awamu awamu.
Nimejaribu kuzisoma hizo sheria nimetoka kapa maana zipo kwenye lugha ya kingereza na kingereza cha kisheria kidogo sio kirahisi sana
Naomba kuwasilisha!!