Kuna hili suala la currency exchange hua linanichanganya
Mfano, uki google Currency exchange online such as 1 MK (Malawi kwacha) to Tsh 1.7 hivi
Nimejaribu kutuma Tsh 1000 kwenda Airtel Malawi nikaambiwa ntapata Mk 679 hivi
Ila sasa ukiwa Border au ukimtumia pesa wakala alie mpakani kati ya TZ na Malawi
Mfano ukimpa Tsh 20000 anakupa Kwacha 26600
Inakuaje kunakua na tofauti...?
Mfano, uki google Currency exchange online such as 1 MK (Malawi kwacha) to Tsh 1.7 hivi
Nimejaribu kutuma Tsh 1000 kwenda Airtel Malawi nikaambiwa ntapata Mk 679 hivi
Ila sasa ukiwa Border au ukimtumia pesa wakala alie mpakani kati ya TZ na Malawi
Mfano ukimpa Tsh 20000 anakupa Kwacha 26600
Inakuaje kunakua na tofauti...?