Naomba ufafanuzi kuhusu BAED

Naomba ufafanuzi kuhusu BAED

Wakuu nam naomba kufahamishwa kuhusu hii coz ya bachelor of transport and logistics coz mdogo angu kachaguliwa hyo coz pale NIT.Vp kuhusu ajira zake
 
Vijana mliosoma udsm sub-campus za zoazoa walimu wapate elimu mnasumbua mitandaoni mpaka tuliosoma soma za maana tunaonekana wote ni hovyo.
Vipi mtu kutoa na kuanza kupondea vyuo vya wenzio wakati umeenda na div III Udsm kusoma ualimu????
Hahhaaa hahahaa mkuu VIP??? Ulitamani kusoma ud sema ndio hivvyo tena....unaishia kubeza
Povu,,,hujui kuwa wenye alama nzuri wanachaguliwa UDSM ndio vyuo vingine vinafuata.

Huyo aliyesababisha maneno mengi ni mbishi jaribu kusoma alikuwa anabisha jambo gani?
 
Bado unakomaaa na ualimu dogo,,,,,,,,af very majestically eti unategemeaa ajira serikalinnn utakeshaaa kijana zindukaaaa
 
BED huwa ni somo moja na mkazo unatiliwa kweny masomo ya ualimu. Baed unakuwa na masomo mawili ambayo ndio hutiliwa mkazo mkubwa ambayo kwa vyuo vingi hufundishwa kwa miaka miwili na masomo ya ualimu hufundishwa kwa mwaka mmoja. Ingawaje kwasasa udom watu was bed sc wanachukua mawili lakini ni kwa chaguo LA mwanafunzi yeye mwenyewe.
 
mimi ni mwanafunzi wa udom nasoma BED ARTS.ilikuwa somo moja miaka ya nyuma ila now wameamua kusoma mawili ili kukabiliana na changamoto ya ajira so UDSM sio msaafu kwa vile wao wanachukua somo moja basi wote somo moja so msikariri hivyo chuo ni tasisi huru.
 
Back
Top Bottom