lipoprotein
Member
- Oct 4, 2016
- 51
- 58
1990s uliyeenda ud kwa mafurikoAcha uongo kote wapi mbona UDSM ni somo moja au unaongelea vyuo vya.............................
1990s uliyeenda ud kwa mafurikoAcha uongo kote wapi mbona UDSM ni somo moja au unaongelea vyuo vya.............................
Umepatika kabisaBAED ni Bachelor of education in science?![]()
Si kweli with ndio ina masomo mawili na in inabase kwenye somo moja.Umeeleza vizur sana but ni kinyume chake, bachelor of education in science au in art ndio anakuwa na 2 teaching subjects while bachelor of science with education ndio ana one teaching subject
Duh hya kasome c uliiomba mkuuNa vipi jaman mm nmechaguliwa kusomea bachelor of education in psychology udom hvyo naomben ushaur kikoje hii course?
Baaas vyuo vinatofautianaSi kweli with ndio ina masomo mawili na in inabase kwenye somo moja.
Kama nimekosea ruksa kunisahihisha
Kwani sasahivi unajua niko wapi.1990s uliyeenda ud kwa mafuriko
Udom kama sikosei wanatoa masomo mawili.Acha uongo kote wapi mbona UDSM ni somo moja au unaongelea vyuo vya.............................
Yap. Mkuu umesema vema sema sometimes haya majina yanatofautiana. Si unajua hv vyuo vya juzi juziKwani sasahivi unajua niko wapi.
Nina uhakika UDSM ni somo moja la kufundishia kwa wale wa BED ila BScEd na BAEd ni masomo mawili.
Najua umesoma chuo cha ..............
Ndio maana mbishi.
Vyuo vya kata ni wabishi sana.Yap. Mkuu umesema vema sema sometimes haya majina yanatofautiana. Si unajua hv vyuo vya juzi juzi
Hahaha sawa mwalimu Wa LL kama nakuona vile ukiangaika na remote senseVyuo vya kata ni wabishi sana.
Kama huyo hapo juu atakuwa wa UDOM.
Hahaha sawa mwalimu Wa LL kama nakuona vile ukiangaika na remote sense
sina tabia ya kuponda vyuo hivi vipya ila leo imenilazimu kutumia maneno kama "vyuo vya kata" baada ya kuona jamaa mbishi.Alikuwa anazungumza kulingana na uzoefu wake,,![]()
![]()
![]()
sina tabia ya kuponda vyuo hivi vipya ila leo imenilazimu kutumia maneno kama "vyuo vya kata" baada ya kuona jamaa mbishi.
Hakika mkuu ila amekosea kusema ni vyuo vyote.Alikuwa anazungumza kulingana na uzoefu wake,,
Hilo ndilo tatizo LA watz....mtu anaongea confidently bila ya kuwavna uhakikaHakika mkuu ila amekosea kusema ni vyuo vyote.
Naona amekimbia.
Tuko pamoja mkuu.
Lakini sasa ameelewa ndio maana ametulia.Hilo ndilo tatizo LA watz....mtu anaongea confidently bila ya kuwavna uhakika
Hili ni janga hiki ni choo cha kikeNa vipi jaman mm nmechaguliwa kusomea bachelor of education in psychology udom hvyo naomben ushaur kikoje hii course?
Povu,,,hujui kuwa wenye alama nzuri wanachaguliwa UDSM ndio vyuo vingine vinafuata.Vijana mliosoma udsm sub-campus za zoazoa walimu wapate elimu mnasumbua mitandaoni mpaka tuliosoma soma za maana tunaonekana wote ni hovyo.
Vipi mtu kutoa na kuanza kupondea vyuo vya wenzio wakati umeenda na div III Udsm kusoma ualimu????
Hili ni janga hiki ni choo cha kike
In short sikushauri
dah mkuu umempa black and white.