Naomba ufafanuzi juu ya course ya insurance and risk management..

Kilaa course ni makertable ukipata shavu na ndoo kinChotofautisha kati ya coz Moja na nyingine ila ukipta shavu nzuri ila kwa USBA uranium a had iris he itakusumbua kupata ajira
 
kwa ngazi ya degree.. mi nmechaguliwa kusoma hio IFM..
Kwa mawazo yangu mimi nimewaza ungeuliza kabla hujafanya application lakini umetoa baada ya kuchaguliwa. Kuna watu watakuja humu kukuvunja moyo na ukapoteza tumaini kabisa. kama ulichagua kwa kujiamini naomba uendelee kujiamini.
Ushauri tu
 
Ni kozi nzur....mm nimemaliza hapo ifm kozi hyo....na ni marketable istoshe kadri siku zinavyozidi kwenda uelewa na uhitaji wa Bima unakua.
So Marketability itazidi kadri siku zinavyozid kwenda!
 
mm ni muhitimu wa ifm kama uko ulisoma masomo ya sayansi a'level otherwize biashara au uchumi (egm au hge) soma account but kama ulisoma art ww soma hiyo hiyo though soko lake ni tight more than 70% linategemea ajira bunafsi(makampuni)
 
mm ni muhitimu wa ifm kama uko ulisoma masomo ya sayansi a'level otherwize biashara au uchumi (egm au hge) soma account but kama ulisoma art ww soma hiyo hiyo though soko lake ni tight more than 70% linategemea ajira bunafsi(makampuni)
Fact,,,Mimi pia nlisoma ifm lakn tuache utani bora banking n finance au account ipo marketable sana lakn course nyngne but asome tu au akiweza kubadl achukue bnkng au account
 
Ukishindwa kubadl soma hyo hyo mashrka ya bima sa hv yamekuwa mengi tatizo LA hzo course ifm mfano social protection, insurance, na tax inanguwa ngumu kupata kazi sababu mwajiri mkuu ni mmoja social had nssf,lapf,na tax TRA na bima hadi bima ndio tatizo ila banking and finance wanaingia popote na account
 
Back
Top Bottom