Siyo sumu kama hiyo mkuu, namaanisha katika vyakula, vinywaji,mazingira n.k sehemu zote hizi huwa tunaweza kupata sumu ktk miili yetu
mkuu hapo cjaelewa vzryah kwelii hata mim hiii dawa ilinisaidiaa kipindii naumwa kisukarii hata now harii yanguu njemaa kabisaa mzimaa ...IPOO OK ilaa ongezeaa kama kuna kuni kavu saga nazaoo kishaa tia vijiko viwili vya chaii humo kwenye glass itakusaidaa sana ..
AHSANTE
Kama alijaribu je ulivomwambia wewe ulipona..itakula kwakeUTAKUFAA WEW ACHAA UROHOO WEW
Duh usage na kuni kavu kiongozi..!!!?yah kwelii hata mim hiii dawa ilinisaidiaa kipindii naumwa kisukarii hata now harii yanguu njemaa kabisaa mzimaa ...IPOO OK ilaa ongezeaa kama kuna kuni kavu saga nazaoo kishaa tia vijiko viwili vya chaii humo kwenye glass itakusaidaa sana ..
AHSANTE
Nachojua mimi na nimefanyia majribio ni kwamba ukiusaga mkaa ukawa unga na ukachanganya na chumvi kidogo ukasugulia meno kwa muda wa wiki moja yanatoka meupe pyee kama ulivyokuwa katoto kazuri enzi hizoHabari zenu wana JF.
Kuna mtu mmoja kaniambia kuwa ukiusaga mkaa, ukaupata ule unga wake laini ukichanganya na maji kama glasi moja hivi na kuinywa ni dawa tosha kabisa ya kuondoa sumu mbalimbali mwilini. Vipi hapo wakuu kuna mwenye ufahamu sahihi juu ya hili?