Naomba tusaidiane katika hili

Tayukwa

JF-Expert Member
Dec 11, 2014
2,143
4,296
Habari zenu wana JF.
Kuna mtu mmoja kaniambia kuwa ukiusaga mkaa, ukaupata ule unga wake laini ukichanganya na maji kama glasi moja hivi na kuinywa ni dawa tosha kabisa ya kuondoa sumu mbalimbali mwilini. Vipi hapo wakuu kuna mwenye ufahamu sahihi juu ya hili?
 
wewe kwani una sumu mwilini?yaani kama ya nyoka au?!!!
Siyo sumu kama hiyo mkuu, namaanisha katika vyakula, vinywaji,mazingira n.k sehemu zote hizi huwa tunaweza kupata sumu ktk miili yetu
 
yah kwelii hata mim hiii dawa ilinisaidiaa kipindii naumwa kisukarii hata now harii yanguu njemaa kabisaa mzimaa ...IPOO OK ilaa ongezeaa kama kuna kuni kavu saga nazaoo kishaa tia vijiko viwili vya chaii humo kwenye glass itakusaidaa sana ..
AHSANTE
 
yah kwelii hata mim hiii dawa ilinisaidiaa kipindii naumwa kisukarii hata now harii yanguu njemaa kabisaa mzimaa ...IPOO OK ilaa ongezeaa kama kuna kuni kavu saga nazaoo kishaa tia vijiko viwili vya chaii humo kwenye glass itakusaidaa sana ..
AHSANTE
mkuu hapo cjaelewa vzr
 
Habari zenu wana JF.
Kuna mtu mmoja kaniambia kuwa ukiusaga mkaa, ukaupata ule unga wake laini ukichanganya na maji kama glasi moja hivi na kuinywa ni dawa tosha kabisa ya kuondoa sumu mbalimbali mwilini. Vipi hapo wakuu kuna mwenye ufahamu sahihi juu ya hili?
Nachojua mimi na nimefanyia majribio ni kwamba ukiusaga mkaa ukawa unga na ukachanganya na chumvi kidogo ukasugulia meno kwa muda wa wiki moja yanatoka meupe pyee kama ulivyokuwa katoto kazuri enzi hizo
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom