Naomba taarifa za maisha ndani Katavi

Naomba taarifa za maisha ndani Katavi

specialist88

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2014
Posts
1,140
Reaction score
619
Salaam wana jukwaa.

Niliomba kazi kwenye kampuni flani iliyopo mkoani KATAVI,nimepata. Natakiwa kulipoti mwezi wa 11 mwishoni mwaka huu.

Binafsi sijswahi kufika katavi(mjini),hivyo ningependa kujua maisha ya katavi yapoje?Gharama ya maisha kwa maana ya Rent,gharama za vyakula,kama kuna taasisi za elimu au ya juu(branches na n.k) nature ya watu wa Katavi, huduma za jamii kama afya na n.k

Natanguliza shukrani zanagu.
 
Kwa kawaida sana,kama unataka kusafir mfano kwenda Arusha,dar,dom,jiandae kusafir cku 3,taasis za elimu ya juu sahau maana hata inayotoa dipl hamna,huduma ya afya mmmh!ipo kama sehem nyingne za tz hasa halmashaur,maisha always yanafanana tz kasoro,ila huwez fananisha na wilaya au sehem za kilimanjaro au hata mbeya sehem baadhi.kifupi uwe mvumilivu.
 
Natakiwa kuripoti kazini,kituo kipya kilichopo mjini Katavi...

Naomba kujua maisha ya katavi kwa maana ya gharama za nyumba(kupanga),gharama za chakula,upatikanaji wa huduma za kijamii kama afya n.k,nature au aina ya watu wa katavi,usafiri ndani ya mjia wa katavi.

Shukrani.
 
Kwa kulima bepari:wink::wink::wink::wink::wink::wink::wink::wink::wink::wink::wink::wink:
 
Rent per room 1 haizid 5000 to 10,000 so room mbili inaeza kwenda mpaka 10,000 mpaka 15,000 kutegemea na hadhi ya nyumba kiufupi maisha Ni rahisi sana na hasa vyakula
 
Kwa kawaida sana,kama unataka kusafir mfano kwenda Arusha,dar,dom,jiandae kusafir cku 3,taasis za elimu ya juu sahau maana hata inayotoa dipl hamna,huduma ya afya mmmh!ipo kama sehem nyingne za tz hasa halmashaur,maisha always yanafanana tz kasoro,ila huwez fananisha na wilaya au sehem za kilimanjaro au hata mbeya sehem baadhi.kifupi uwe mvumilivu.
ona bas aibu...safar ya siku 3 ya kutoka katavi??kama unaenda arusha kuna bas la moja kwa moja coastline..kama unaenda mwanza kuna as la 1 kwa 1 a.m na ni safar ya siku 1
 
Rent per room 1 haizid 5000 to 10,000 so room mbili inaeza kwenda mpaka 10,000 mpaka 15,000 kutegemea na hadhi ya nyumba kiufupi maisha Ni rahisi sana na hasa vyakula
duuuh! kaka naomba nikupm....tuongee private
 
Uende na mkeo kabisa vinginevyo unaoa mwingine huko.
 
Mjini katavi ndo wapi? Au unamaanisha mpanda? Jiandae kula nyama pori. Ukiishiwa sukari nenda kwa Mh muombe asali
 
nadhani unamaanisha mpanda mjini kwa maana katavi ni mkoa maisha ya mkoa huu yapo chini sana kama una kipato kizuri unaweza kufanya maendeleo makubwa sana
karibu sana mpanda-katavi
 
Mkuu in general mpanda-katavi pako kawaida sana maisha yako somehw cheap, kuhusu bei za kupanga wanakuangalia kama ni kampuni wanapiga sisi tulipanga nyumba 1.2m kwa mwezi.Mademu wa huko hawajui kukataa mkuu .........hahahahahaha wananzengo
 
Rent per room 1 haizid 5000 to 10,000 so room mbili inaeza kwenda mpaka 10,000 mpaka 15,000 kutegemea na hadhi ya nyumba kiufupi maisha Ni rahisi sana na hasa vyakula

Kwanini una mdanganya mwezio? Maisha ya Katavi kama Dar kwa gharama ya vyumba, chumba kizuri kuanzia elfu 30, mpaka elfu 60 inategemeana na nyumba. Na pia kwa gharama ya nyumba sio chuma, pia bei inaanzia na laki na nusu kuendelea. Kiukweli hamna tofauti na Dar hata kwa bei kilo ya nyama. Tofauti yake na Dar ni waganga wa kienyeji bei zao ni ndogo sana tofauti na wa Dar. Nasema hivi kwa sababu ndio home na pia ni mmiliki wa nyumba mbili maeneo ya kotazi jirani na shule ya msingi kashaulili.


Ila katavi ni sehemu ya watu wanaupendo sana, na ukarimu wao ni wa dhati kutoka moyon.
a moyoni
 
Back
Top Bottom