specialist88
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 1,140
- 619
Salaam wana jukwaa.
Niliomba kazi kwenye kampuni flani iliyopo mkoani KATAVI,nimepata. Natakiwa kulipoti mwezi wa 11 mwishoni mwaka huu.
Binafsi sijswahi kufika katavi(mjini),hivyo ningependa kujua maisha ya katavi yapoje?Gharama ya maisha kwa maana ya Rent,gharama za vyakula,kama kuna taasisi za elimu au ya juu(branches na n.k) nature ya watu wa Katavi, huduma za jamii kama afya na n.k
Natanguliza shukrani zanagu.
Niliomba kazi kwenye kampuni flani iliyopo mkoani KATAVI,nimepata. Natakiwa kulipoti mwezi wa 11 mwishoni mwaka huu.
Binafsi sijswahi kufika katavi(mjini),hivyo ningependa kujua maisha ya katavi yapoje?Gharama ya maisha kwa maana ya Rent,gharama za vyakula,kama kuna taasisi za elimu au ya juu(branches na n.k) nature ya watu wa Katavi, huduma za jamii kama afya na n.k
Natanguliza shukrani zanagu.