Jana raisi alizindua sera mpya ya Elimu na Mafunzo ya mwaka 2015.
Kwa mujibu wa raisi, sera hiyo inalenga kuboresha elimu, baada ya kufanikiwa kupanua elimu.
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi alisema kwamba sera hiyo inalenga kuwapa Watanzania maarifa ili kuchochea mpango wa maendeleo 2010 - 2025, wa Tanzania kuwa na uchumi wa kati.
Nimeitafuta sera hiyo kwenye tovuti ya wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, tovuti hiyo haifunguki, "Ministry of Education and Vocational Training This site is down for maintenance. Please check back again soon. Tovuti inafanyiwa marekebisho. Tafadhali iangalie tena muda sio mrefu".
Naomba mwenye sera hiyo aiweke humu ili wadau wengi tuangalie namna ya utekelezaji wake.
Kwa mujibu wa raisi, sera hiyo inalenga kuboresha elimu, baada ya kufanikiwa kupanua elimu.
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi alisema kwamba sera hiyo inalenga kuwapa Watanzania maarifa ili kuchochea mpango wa maendeleo 2010 - 2025, wa Tanzania kuwa na uchumi wa kati.
Nimeitafuta sera hiyo kwenye tovuti ya wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, tovuti hiyo haifunguki, "Ministry of Education and Vocational Training This site is down for maintenance. Please check back again soon. Tovuti inafanyiwa marekebisho. Tafadhali iangalie tena muda sio mrefu".
Naomba mwenye sera hiyo aiweke humu ili wadau wengi tuangalie namna ya utekelezaji wake.