Naomba profile la mh. Moses Machali

Naomba profile la mh. Moses Machali

simjui mtu

Member
Joined
Jul 19, 2011
Posts
11
Reaction score
0
ma great thinker! nilikuwa naomba wadhifa wa mbunge wa kasulu mjini mh.Moses Machali kupitia NCCR MAGEUZI,
 
Mkuu karibu javini kwanza
ok anavyoongea kama muhubiri vile of course angekuwa CDM tunge google ok check google usituchoshe
 
Mkuu karibu javini kwanzaok anavyoongea kama muhubiri vile of course angekuwa CDM tunge google ok check google usituchoshe
Hahahahahahaaa unanivunja mbavu mkuu! Kazaliwa August 9 1981, kasulu. Kasoma St. Augustine University of Tanzanzia SAUT-2008, Mbunge wa NCCR-Kasulu Mjini.. Hajui kuongea vizuri/kisomi then mbishi sana!
 
Ngoja mimi nikusaidie kidogo.
Mwaka wa kuzaliwa siujui ila namjua tangu mwaka 2004.
Degree: BA Education, st Augustine University 2010.
Secondary: Newman Sec School ila centre yake ya mtihani ni Kigoma Sec mwaka 2006 (adv level).
College: Kasulu teaching college na kabla ya kuwa mbunge alikuwa Mwalimu wa Kigoma Pr Schoo.
 
mojawapo ya sifa zake ni kudunda hadi wazazi wake

alishawahi kudundwa dodoma kwa kulazimisha watu wampishe barabarani... akaishia kusema ni majambazi mwaka 2013

kijana ana shida ya kulewa sifa
 
ma great thinker! nilikuwa naomba wadhifa wa mbunge wa kasulu mjini mh.Moses Machali kupitia NCCR MAGEUZI,

Nimbunge mwenyeakili zaidi ya wabunge wa CCM. Machali moja nisawa na wabunge 25 wa CCM
 
Back
Top Bottom