mwingine aliyeigaragaza ccm bila huruma ni mzee philmon ndesamburo, wa chadema,moshi mjini.
amemshinda mpinzani wake wa karibu wa ccm mr.salakana kwa kishindo kikubwa mno.
nevrthelss chadema wameshinda kata 18 jimbo la moshi mjini huku ccm wakiambulia kata 3 tu.
so, council ya moshi municipality itaongozwa na chadema, baaa ya kukaa mikononi mwa mafisadi kwa muda mrefu.