Bob_Dash
Member
- Nov 1, 2010
- 90
- 13
Nimekuwa nikipitia blog mbalimbali kutafuta takwimu ya wabunge wa CHADEMA waioshinda katika majimbo yao, lakini bado sijafanikiwa kupata habari za uhakika, zaidi ya Zitto Kabwe ambaye ameshinda takribani katika vituo vyote vya kura huko Kigoma-vijijini. Sasa naomba tuweke majina yao na majimbo yao.