ashomile
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 2,625
- 2,443
Hivi mtu akisitishiwa mkataba na alikuwa kabakiza kama miezi sita ni lazima alipwe pesa ya mkataba wake au asilipwe maana naona makampuni mengi yakiwasitishia watu mikataba huwa yanawalipa mwezi mmoja tu mingine mitano halipwi ,hii ni sahihi kweli ?
Na hajaiba sema kavunja displinary code za kazi yake.MNISAIDIE NIELEWE NAMI MAANA NAONA JAMAA ZANGU WENGI HAWALIPWI
Na hajaiba sema kavunja displinary code za kazi yake.MNISAIDIE NIELEWE NAMI MAANA NAONA JAMAA ZANGU WENGI HAWALIPWI