Naomba Namba ya TRA

KVM

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2011
Posts
1,852
Reaction score
934
Nimepambana na udanganyifu mkubwa wa ukusanyaji kodi unaofanywa na watu ambao siyo waaminifu kwa kutumia jina la TRA. Mwenye namba simu nambako naweza kuripoti tatizo nililokutana nalo tafadhali anijuze. Sitaki kuelezea tatizo hilo mpaka hapo nitakapozungumza na mtu wa TRA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…