Naomba nafasi ya kazi

Naomba nafasi ya kazi

Luge son

Member
Joined
Jun 16, 2016
Posts
24
Reaction score
18
Habari za kazi ndugu zanga nimekuja mbele yenu kuomba nafasi ya kazi upande wa udereva magari madogo na bajaji, pia kazi za uuzaji wa maduka spare za magari nina ujuzi nazo lakini hata uuzaji wa bidhaa zingine naweza pia, lakini pia kazi sales naweza. Kwa yoyote anaeweza nipa direction au mwenye nafasi tusaidiane. elimu yangu ni chuo
 
Habari za kazi ndugu zanga nimekuja mbele yenu kuomba nafasi ya kazi upande wa udereva magari madogo na bajaji, pia kazi za uuzaji wa maduka spare za magari nina ujuzi nazo lakini hata uuzaji wa bidhaa zingine naweza pia, lakini pia kazi sales naweza. Kwa yoyote anaeweza nipa direction au mwenye nafasi tusaidiane. elimu yangu ni chuo
Karibu Fulgent Careers, washauri wa masuala ya elimu na ajira ndani na nje ya nchi. Hudu ma ya kutafutiwa kazi ni Tsh 10 000 tu. 0769 524 022
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom