Wahindi ni walanguzi na wanapenda kualalia sana, fika Magomeni Mapipa, kama unakwenda Idara ya Maji kuna jamaa anaitwa Nchimbi, ni mtu wa Mungu, mkweli na hana tamaa! Atakupa ushauri mziri tu.
Wahindi ni walanguzi na wanapenda kualalia sana, fika Magomeni Mapipa, kama unakwenda Idara ya Maji kuna jamaa anaitwa Nchimbi, ni mtu wa Mungu, mkweli na hana tamaa! Atakupa ushauri mziri tu.