Naomba mwongozo wadau.

Ninaweza

Platinum Member
Joined
Dec 14, 2010
Posts
14,892
Reaction score
10,578
Ni sehemu gani dar. Wanapo nunua vito (dhahabu, ruby, almas,.....) ntashukuru mkiniwekea na bei.
 
Kwa masonara!

Wahindi ni walanguzi na wanapenda kualalia sana, fika Magomeni Mapipa, kama unakwenda Idara ya Maji kuna jamaa anaitwa Nchimbi, ni mtu wa Mungu, mkweli na hana tamaa! Atakupa ushauri mziri tu.
 
Kwa masonara!

Wahindi ni walanguzi na wanapenda kualalia sana, fika Magomeni Mapipa, kama unakwenda Idara ya Maji kuna jamaa anaitwa Nchimbi, ni mtu wa Mungu, mkweli na hana tamaa! Atakupa ushauri mziri tu.
ubarikiwe sana mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…