Doubleg Malafyale
JF-Expert Member
- Feb 17, 2017
- 1,889
- 2,215
Elewa alichosemaUna maanisha haina maana kabisa?
Hajamaanisha haina maana Bali kajaribu kufafanua kwa wanaodhani anayehitajika kusoma community health ni MTU aliyesoma au kuwa na pass za physics and chemistry kitu ambacho siyo
Kwenye hii coz hayana ulazima ila ambalo ni lazima ni biology tu
Ndio maana mwana art naye anahusika maana anasoma biology pia cha msingi awe na pass kwenye hill somo