Samahani kulikuwa na makosa kipimo sahihi ni 4X2 ft 18 mpaka 20, huku kwetu tegeta ft 20 @ 15,000 na Buguruni ni 13,000, huwezo huo sina cause nikataka mbao 200 kwa 2,000,000 ndip uwezo wangu ulipolomea, mahitaji haswa ni 4X2 PC 150 na 2x2 PC 100 nitakachofanya baada ya kupata hizo mbao PC 200 nitato PC 50 ambazo nikipasua 2X2 nitapata PC 100.