Halafu ina antfreezee sidhani kama ni applicable kwetu , hatuna temperature hizoCoolant ya USA uipate bongo mzee baba?
Weka ya kawaida hiyo ina antifreeze kwa sababu ya baridi maji huwa yanaganda so antifreeze inazuia maji yasigande sisi huku hatuna winter mzeeHabari wakuu! Naomba msaada wa wapi naweza kupata hi coolant?View attachment 2586807
Mbona hiyo ina antfreeze,hata ukae makete hiyo haina maana . Coolant n8 kitu universal sanaYah nahitaji kama ilivyo hyo!
Weka ya kawaida hiyo ina antifreeze kwa sababu ya baridi maji huwa yanaganda so antifreeze inazuia maji yasigande sisi huku hatuna winter mzee
Kwani mbona magari yapo bongo na hatuna kiwanda!?Coolant ya USA uipate bongo mzee baba?
Vitu vingi kutoka huko, hasa spea za magari yao ni changamoto kuzipata hukuKwani mbona magari yapo bongo na hatuna kiwanda!?
Duuu..Kwani mbona magari yapo bongo na hatuna kiwanda!?
Coolant la msingi ni kujua ni material gani yametumika kutengeneza kipozeo chako. Ni maji tu yenye antirust agents. Kwa oil sawa naelewa viscosity inahusika ila hayo maji tuAsante kwa ushauri mkuu! Nafahamu hilo ila kuwa antifreeze haina maana kuwa haiwezi kuwa applicable kwa nchi zenye joto, ndio mana kuna oil za 0W zinatumika na huku pia kwenye nchi zenye joto. So hiyo ni additional advantage ya product but haifanyi iwe limited.
Ndo uhalisia.Duuu..
Watu Wana majibu banana!!!!
Sawa, inawezekana ikawa kuna changamoto, lakini mwisho wa siku vinqpatikanaVitu vingi kutoka huko, hasa spea za magari yao ni changamoto kuzipata huku
Kupatikana vitapatikana ila utaagiziwa kwa bei kubwaSawa, inawezekana ikawa kuna changamoto, lakini mwisho wa siku vinqpatikana
Wakati mtu ananunua gari, katika vitu anavyotakiwa kuvifanya ni kujua spares availability na prices.Kupatikana vitapatikana ila utaagiziwa kwa bei kubwa
Coolant la msingi ni kujua ni material gani yametumika kutengeneza kipozeo chako. Ni maji tu yenye antirust agents. Kwa oil sawa naelewa viscosity inahusika ila hayo maji tu