Nenda pale Kibo mkuu karibu na kituo cha mwendo kasi zipo kibao utapataKwa wanaoujua utaratibu wa kupata huu usafiri wa magari ya IT kwenda Mbeya kuanzia Dar,naomba msaada sijui kwa hapa Dar unapatikana wapi na ni muda gani hasa unapatikana na bei yake hadi Mbeya au hadi Tunduma au Kyela.
Asanteni
Shukrani nduguNenda kituo cha mafuta mitaa ya keko veta along nyerere road.
Ila usiwe na roho nyepesi.
Spidi ya 120/140 iyovi ni kawaida sana kwao.
Sasa jiulize tambarale inakuwaje?
All in all chagua gari iliyo stable na yenye starehe.
Amina ,you're welcome mkuu,usisite kumwambia dereva kama anaenda speed siyo ,maana inaonesha madereva hasa wa IT wako na speed sanaAsante ndugu nashukuru sana kwa msaada wako,ubarikiwe sana
Naomba No.yakeKuna dada mmoja namfaham anaendesha it ngoja nimpigie nimuulize ratiba yake ikoje ili nimpe kichwa
Una matatizo gani ?Kwa wanaoujua utaratibu wa kupata huu usafiri wa magari ya IT kwenda Mbeya kuanzia Dar,naomba msaada sijui kwa hapa Dar unapatikana wapi na ni muda gani hasa unapatikana na bei yake hadi Mbeya au hadi Tunduma au Kyela.
Asanteni