kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,666
- 4,368
Habari zenu ndugu zangu,
Mimi ni kijana kwasasa nina umri wa miaka 24
Nina tatizo la tumbo kujaa mapema.
Yaani sasa hivi nikila kitu chochote au nikinwa maji nahisi utumbo wote umejaa na kuna vitu vina nichoma choma tumboni
Nikilala kifo cha mende kama kwa dakika 3 au 5 tena ninasikia tumbo inaguruma na baada ya apo nina rudi kwenye hali yangu ya kawaida
Sijui hili ni tatizo gani
Mimi ni kijana kwasasa nina umri wa miaka 24
Nina tatizo la tumbo kujaa mapema.
Yaani sasa hivi nikila kitu chochote au nikinwa maji nahisi utumbo wote umejaa na kuna vitu vina nichoma choma tumboni
Nikilala kifo cha mende kama kwa dakika 3 au 5 tena ninasikia tumbo inaguruma na baada ya apo nina rudi kwenye hali yangu ya kawaida
Sijui hili ni tatizo gani