Mbona unamtukana mwenzio wakat ww ndo hujui kitu mkuu......mwana kakujibu correct kabisa ..........kama hujui piga kimyauwe unajitahidi kua serious japo mara moja kwa mwaka, mtu anauliza yupo serious we unaleta mambo ya kise.nge, kama huna jibu funga domo lako lisilo pigwa mswaki, nyambafu!
Ni hata kwa masters au postgraduate? Natanguliza shukrani kiongozi.60,000 ada kwa hyo jipange km na 100000
Ahsante kwa majibu ila ningependa kujua jumla ya gharama kwa anayeanza first year yani direct costs(library,registration, ID etc)+ tuition fee kwa sababu hiyo elfu 60 ni tuition fee tu.Samahani kwa usumbufuada ni 60,000 kwa unit moja kwa mwaka.....ndani ya mwaka unasoma unit 12 hivyo piga hesabu elfu 60 mara unit 12 utapata ada inayotakiwa kulipwa kwa mwaka mmoja..........