Pool Table
JF-Expert Member
- Jan 30, 2020
- 1,678
- 2,882
[bold,color=black]hivi au?
Igembe nsabho!!😂AISEEEE
inakataaaiseeUsituchee akili kha
2najaribuAnza kwa kuweka mabano haya [ ], ndani yake unaandika color=red au color=geeen.
Baada ya hayo mabano andika unachotaka, kama kawaida.
Mwisho unafunga tena kwa mabano haya [ ] ndani unaandika /color. Ila usiache nafasi unapofunga kwa mabano unapomaliza kuandika
Na hii kubadirik rang maneno humu2 kweny JMF au hata kweny socia network zingin mfano fb naomba nijibiwe?Habarini za wakati huu wanajamvi.
Naomba mnisaidie namna ya ku-bold na kubadili rangi maandishi!
Wasalamu!
Na hii kubadirik rang maneno humu2 kweny JMF au hata kweny socia network zingin mfano fb naomba nijibiwe?mzee hii ni humu*2