Entreprenuare
JF-Expert Member
- Aug 24, 2019
- 1,616
- 1,714
Wadau mambo vipi?
Nadhani kila mfanyabiashara anapenda kuona biashara yake inakuwa kila siku, au kila baada ya muda fulani, hapa nina maanisha kwamba , kama ulianza kuuza chapati 20 kwa siku, basi tuna tegemea baada ya muda fulani uweze kuuza chapati 50 kwa siku.
Sasa, wataalam wa biashara na wazoefu, naomba mnipe mbinu za kukuza na kuendeleza biashara fulani,
Nadhani kila mfanyabiashara anapenda kuona biashara yake inakuwa kila siku, au kila baada ya muda fulani, hapa nina maanisha kwamba , kama ulianza kuuza chapati 20 kwa siku, basi tuna tegemea baada ya muda fulani uweze kuuza chapati 50 kwa siku.
Sasa, wataalam wa biashara na wazoefu, naomba mnipe mbinu za kukuza na kuendeleza biashara fulani,