social 006
Member
- Mar 7, 2021
- 6
- 2
Msaada,
Wakati nafanya maombi ya kujiunga na chuo cha UDOM, nimefanikiwa kucreate account na ku log in, shida ni kwamba nime log in nakuta account kwenye dashboard ni empty hakuna sehemu ambapo naweza pata controls number wala sehemu ya kufanya application ya uchaguz wa kozi.
Wakati nafanya maombi ya kujiunga na chuo cha UDOM, nimefanikiwa kucreate account na ku log in, shida ni kwamba nime log in nakuta account kwenye dashboard ni empty hakuna sehemu ambapo naweza pata controls number wala sehemu ya kufanya application ya uchaguz wa kozi.