proposal ni mswada...Naomba kwa yeyote anaejua jinsi ya kuandaa proposal anielekeze. Nataka kuomba hela kwa wawekezaji ili niendeshe biashara.
Hivyo Kama unajua kuandaa proposal, please nielekeze
Tuchekiane, saivi nimetoa ofa ya bei nafuu ktk kuandaa hizi Proposals.Naomba kwa yeyote anaejua jinsi ya kuandaa proposal anielekeze. Nataka kuomba hela kwa wawekezaji ili niendeshe biashara.
Hivyo Kama unajua kuandaa proposal, please nielekeze
First nataka nifanye mradi wa kuku wa kienyeji...proposal ni mswada...
mswada wako unahusu mradi gani wa biashara?
gharama yake ni USD ngapi?
weka wazi biashara yako, hakuna jipya kwa sasa hapa duniani, machache sana hayajagunduliwa!
Ok nitakuchekiTuchekiane, saivi nimetoa ofa ya bei nafuu ktk kuandaa hizi Proposals.
www.kimiconsultancy.blogspot.com
0692138944