Dr Maja
Member
- Aug 23, 2020
- 67
- 72
Wana JF, Natumai mko poa!
Kuna rafiki yangu amepata admission MUST lakini akiingia kwenye account yake haoni andishi lolote! (kwasasa, alipokea ujumbe wa kufanikiwa kupata admission pale). Je, kwenye account zenu nyie kuna maandishi? Au ni tatizo kwake tu?
PS: amejaribu kuwapigia cm hawapokei, hawapatikani... Na anahitaji joining instruction, admission letter etc. Kama mnaweza kumsaidia maana amepanic!
Kuna rafiki yangu amepata admission MUST lakini akiingia kwenye account yake haoni andishi lolote! (kwasasa, alipokea ujumbe wa kufanikiwa kupata admission pale). Je, kwenye account zenu nyie kuna maandishi? Au ni tatizo kwake tu?
PS: amejaribu kuwapigia cm hawapokei, hawapatikani... Na anahitaji joining instruction, admission letter etc. Kama mnaweza kumsaidia maana amepanic!