Nyalotsi
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 6,986
- 5,057
Ninafanya biashara ya reja reja sehemu ninayoishi, nauza nguo za watoto.
Mwaka huu TRA wamenikadiria kulipa kodi kubwa Kuliko uwezo wa biashara ninayoifanya.
Mtaji ulioabdikwa kwamba ndio uko Kwenye mzunguko ni Kama Mara tatu ya mtaji halisi. Walikadiria tu kama kawaida yao.
Niliandika barua kwa meneja kuomba kukadiriwa upya jibu nililopewa ni Kama ushauri WA nguvu za Giza.
Kwanza nilipelekwa tena Kwa wanaohusika na makadirio alipofika Kule akanambia unachotakiwa ni kulipa kodi tu.
Hayo mengine ntajijua mwenyewe.
Nimefikiria hata kuwaandikia barua ya kufunga biashara hivyo waniondoe Kwenye list ya walipa kodi kwa sasa.
Naombeni ushauri, kuna hatua gani nyingine naweza kufanya??
Natanguliza shukrani.
Mwaka huu TRA wamenikadiria kulipa kodi kubwa Kuliko uwezo wa biashara ninayoifanya.
Mtaji ulioabdikwa kwamba ndio uko Kwenye mzunguko ni Kama Mara tatu ya mtaji halisi. Walikadiria tu kama kawaida yao.
Niliandika barua kwa meneja kuomba kukadiriwa upya jibu nililopewa ni Kama ushauri WA nguvu za Giza.
Kwanza nilipelekwa tena Kwa wanaohusika na makadirio alipofika Kule akanambia unachotakiwa ni kulipa kodi tu.
Hayo mengine ntajijua mwenyewe.
Nimefikiria hata kuwaandikia barua ya kufunga biashara hivyo waniondoe Kwenye list ya walipa kodi kwa sasa.
Naombeni ushauri, kuna hatua gani nyingine naweza kufanya??
Natanguliza shukrani.