CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,387
- 6,480
Jamani naomba msaada, Samsung note 3 inazima yenyewe. Ukiwasha, then baada ya muda mfupi inajizima. Msaada please!
Jamani naomba msaada, Samsung note 3 inazima yenyewe. Ukiwasha, then baada ya muda mfupi inajizima. Msaada please!
Mkuu maelezo yako hayatoshelezi kugundua tatizo. ..jaribu kueleza kinaga ubaga tukusaide.
Ndugu yangu, ni hivyo tu. Ni samsung galaxy note 3. hata sasa ninapoandika, imejizima. basi. Ni mpya kabisa ina wiki tatu. Kwanza ilianza ikapoteza neno samsung unapoiwasha, inaleta mediatek. Sasa inajizima. Msaada please.
Ndugu yangu, ni hivyo tu. Ni samsung galaxy note 3. hata sasa ninapoandika, imejizima. basi. Ni mpya kabisa ina wiki tatu. Kwanza ilianza ikapoteza neno samsung unapoiwasha, inaleta mediatek. Sasa inajizima. Msaada please.
Mkuu mchina hana tiba hesabu maumivu pole mkuu vya bure ghali
Hiyo siyo sumsung ndugu yangu ujanja mwingi siku hizi lakini si ina warantee kwa nini usiende dukani uliponunua ili wakusaidie
mediatek mchina huyoo babu umeliwaaaaa
Unaweza kuwa sawa, LAKINI ninayo samsung galaxy tablet 3, nayo ilikuwa na tatizo hili (nilinunua in the US, sidhani kama nayo ni mchina). Nilipeleka kwa mafundi wakarekebisha tatizo likaisha??????. Kabla sijaenda huko nikaona niulize kabla ya kuchokonoa.
Mkuu,samsung galaxy note3 haijatengenezwa na proccesor ya Mediatek,hivo kama ukiwasha inaandika mediatek manayake n feki..
Kama tatzo lingekua kujizima tu hamna tabu,tungekupa ushauri,.
Na kwa uhakika n kwamba ilipoteza neno samsung ukiiwasha baada ya factory reset...
Umibiwa rudisha uliponunua..
Asante , hapo kwenye red sijakuelewa vizuri. Kupoteza neno samsung unapoiwasha ni factory reset... sijakupata.
Kwa kawaida hizi samsung clone ukizifanyia factory reset(restore factory) tu znaacha kuandka neno samsung ukiziwasha na badala yake znaandika mediatek..