Naomba msaada tatizo kwenye Huawei Y300-0100

Naomba msaada tatizo kwenye Huawei Y300-0100

the horticulturist

JF-Expert Member
Joined
Aug 24, 2012
Posts
1,959
Reaction score
1,929
Simu tajwa inasumbua ukiwaiwasha inawaka then inanipa option ya password nikiweka inakubali ila some time inagomea kwenye logo ya huawey other time inawaka kabisa then inaanza kudisplay fail messages za google market,

yaani hapo inakua huwezi tumia tena mpaka utoe betri na ukiiwasha inarudia vile vile, nimepeleka kwa mafundi Arusha imeshindikana kutengemaa sasa naomba msaada wenu wana JF.

Ni huawey y300 za mwanzo za tigo na ilikua imeunlokiwa ikawa inasoma line zote.
Samahan kwa maelezo mengi na naamini nitasaidiwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom