E emmauel Member Joined Apr 30, 2015 Posts 30 Reaction score 3 May 10, 2015 #1 Simu yangu ilifutika apk hiyo ambayo ndio orijino yake sasa nashindwa kuelewa kuna umuhimu wa kudownload apps nyingine?
Simu yangu ilifutika apk hiyo ambayo ndio orijino yake sasa nashindwa kuelewa kuna umuhimu wa kudownload apps nyingine?
Chief-Mkwawa Platinum Member Joined May 25, 2011 Posts 32,074 Reaction score 43,530 May 10, 2015 #2 Ni file manager na ni muhimu sana kufahamu kuitumia. Kazi yake ni kukuwezesha kupekua kila mahala kwenye simu yako
Ni file manager na ni muhimu sana kufahamu kuitumia. Kazi yake ni kukuwezesha kupekua kila mahala kwenye simu yako
E emmauel Member Joined Apr 30, 2015 Posts 30 Reaction score 3 May 13, 2015 Thread starter #3 Ndugu,mkwawa naomba unijuze zaidi kuhusiana na apk hiyo,