Naomba kusaidiwa,
Mimi nina rafiki yangu anafanya kazi mashuleni serikalini ni mtumishi, anafanyia kazi mkoa flani, mzazi wake anaishi mkoa mwingne, na mazazi wake anaumwa ugonjwa ambao ni very serious sana, ana mdogo wake wa kike.
Kitu ambacho kinamwiia vigumu kumuhudumia baba yake, amejarib kuomba ahamie aliko mazazi wake imekuwa mtihani anaomba likizo ya kumuuguza baba yake imekuwa mtihani, sasa hapa anawaza afanye nini maana yeye ni mtumishi wa serikalini, yeye ndo amempa baba yake kadi ya bima, mshahara ndo anaotegemea.
Naombeni msaada tumshauri ndugu yetu.
Mimi nina rafiki yangu anafanya kazi mashuleni serikalini ni mtumishi, anafanyia kazi mkoa flani, mzazi wake anaishi mkoa mwingne, na mazazi wake anaumwa ugonjwa ambao ni very serious sana, ana mdogo wake wa kike.
Kitu ambacho kinamwiia vigumu kumuhudumia baba yake, amejarib kuomba ahamie aliko mazazi wake imekuwa mtihani anaomba likizo ya kumuuguza baba yake imekuwa mtihani, sasa hapa anawaza afanye nini maana yeye ni mtumishi wa serikalini, yeye ndo amempa baba yake kadi ya bima, mshahara ndo anaotegemea.
Naombeni msaada tumshauri ndugu yetu.