Mkuu kutokana na sheria za mikataba, ili kuwe na agreement lazima offer iwe made na kwa case 2 ni kuwa hujapewa offer hivyo ni sawa na kusema wewe ni mfanyakazi hewa, ushauri wangu ni kuwa kwa sababu unafanya kazi kwa mikataba na hujapewa ni vyema ukaangalia other options kwa sababu Kampuni is in favor kisheria, kwa sababu wao ndio watoa mikataba yaani offer.
Kwa huyo kijana pia ambae tathmini inamruhusu kupewa mkataba mwingine lakini wamekataa,muna two options kama kwenye mkataba wake uliomalizika hakukuwa na term inayoweza kumbeba kidogo katika negotiations basi hana jinsi hapo ila kama mkataba wake uliopita kuna vipengele ambavyo vinamfavor then anaweza kuitisha na kuanzisha negotiations kwa sababu kashafikia malengo aliyowekewa na kampuni.
Katika mkataba au contract mtoa mkataba ndie ana upper hand kwa sababu hawezi kuweka vipengele vitakavyomfunga yeye, pili Kampuni zinazoajiri kimkataba pale ambapo mkataba unamalizika basi huwa ndipo mnapoishia working relationship yenu, kama wakikuhitaji watakupa new contract lakini wasipokuhitaji wao hata kama wewe unaona umefikia malengo hawatakupa contract. Lastly ni kuwa as long as Kampuni hajaviloate mkataba wenu yaani employer na employee mwanzo wa mkataba mpaka mwisho then employee can not sue for anything.
Don't hunt what you can't kill.