Naomba msaada, Laptop inasumbua!!

Naomba msaada, Laptop inasumbua!!

SONGEA

Senior Member
Joined
May 29, 2008
Posts
101
Reaction score
11
Nina Laptop Compaq nc6120, niki-connect kwenye power (Umeme) inastack au kuwa slow mno, nikiitoa ina-perform kawaida. Hivyo nalazimika kuicharge kwanza kisha natoa kwenye umeme na kuendelea kutumia kawaida. Naomba msaada, tatizo ni nini na nifanyaje ku-enjoy matumizi ya Laptop yangu??
 
Hiyo Adapter ina shida mkuu, nenda dukani na hiyo Laptop yako waambie wakupe adapter kama hiyo yako Test kama inafanya kazi ikikubali chukua ikikataa basi huenda Motherboard ina shida.

Hili Tatizo sijui ni kwanini linawakuta User wengi wa Compaq...ukiangalia kwenye Google user wengi wa Compaq ndio wenye tatizo hili!!
 
Nina Laptop Compaq nc6120, niki-connect kwenye power (Umeme) inastack au kuwa slow mno, nikiitoa ina-perform kawaida. Hivyo nalazimika kuicharge kwanza kisha natoa kwenye umeme na kuendelea kutumia kawaida. Naomba msaada, tatizo ni nini na nifanyaje ku-enjoy matumizi ya Laptop yangu??

Bila shaka kutokana na maelezo yako inaelekea wewe unatumia Windows 7 na tatizo lako sio adapter bali tatizo lako liko katika power options. Inabidi uchange power options kwenye windows 7 yako ili iweze kuperform vizuri ukiconnect na adpter. Ni Pm ili nikuelekeze jinsi ya kuchange hizo power options
 
Naungana na wakuu hapo juu

anza na hii..
Bila shaka kutokana na maelezo yako inaelekea wewe unatumia Windows 7 na tatizo lako sio adapter bali tatizo lako liko katika power options. Inabidi uchange power options kwenye windows 7 yako ili iweze kuperform vizuri ukiconnect na adpter.

ikishindikana fuata hii..

Hiyo Adapter ina shida mkuu, nenda dukani na hiyo Laptop yako waambie wakupe adapter kama hiyo yako Test kama inafanya kazi ikikubali chukua ikikataa basi huenda Motherboard ina shida.

Pia ni vizuri tukajua tatizo lilianzaje kama unaweza kumbuka ilikuwaje ikaanza ku-behave hivyo

 
Hiyo Adapter ina shida mkuu, nenda dukani na hiyo Laptop yako waambie wakupe adapter kama hiyo yako Test kama inafanya kazi ikikubali chukua ikikataa basi huenda Motherboard ina shida.

Hili Tatizo sijui ni kwanini linawakuta User wengi wa Compaq...ukiangalia kwenye Google user wengi wa Compaq ndio wenye tatizo hili!!

Thank you for response!!
NAtumia The same adapter kwenye Compaq nyingine (compaq 610) na inaperform vizuri. Laptop zote zinatumia Win XP
 
Thank you for response!!
NAtumia The same adapter kwenye Compaq nyingine (compaq 610) na inaperform vizuri. Laptop zote zinatumia Win XP

Mkuu kuna uwezekana mkubwa kuwa unatumia "Power save Mode" kama ni window Xp click Start >> Control Panel >>Power Option >> hapo kwenye "Power scheme" badilisha weka Default au Recommended au angalia setting za Power Option kwenye hiyo Compaq nyingine inayopiga kazi....!!
 
Back
Top Bottom