sisi ni ndugu
Senior Member
- Sep 4, 2018
- 121
- 135
Habari ndugu zangu!
Nimesumbuliwa na meno muda mrefu hadi imefikia hatua nimeshachomoa meno manne (4). Kwa sasa nahitaji kuweka meno ya bandia. Je, yapi madhara yake? Wakati wa kula inabidi niyatoe?
Msaada naomba kwa anaejua au aliyepitia tatizo kama langu.
Nimesumbuliwa na meno muda mrefu hadi imefikia hatua nimeshachomoa meno manne (4). Kwa sasa nahitaji kuweka meno ya bandia. Je, yapi madhara yake? Wakati wa kula inabidi niyatoe?
Msaada naomba kwa anaejua au aliyepitia tatizo kama langu.