Mwanambugulu
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 667
- 814
- Thread starter
- #21
daah acha tu mkuu watu kibao kweli ajila ngumuInterview inawatu wengi kweli kweli
daah acha tu mkuu watu kibao kweli ajila ngumuInterview inawatu wengi kweli kweli
Mungu atusaidie tudaah acha tu mkuu watu kibao kweli ajila ngumu
AmenMungu atusaidie tu
Maswali yanabadilika kila siku mkuu tatizo wengi huwa na kigugumizi katika lugha ya kiingereza huamini tuWakuu habari zenu ?nimetumiwa sms kuna interview ya bank ya posta position ni sales executive
Vipi kwa wazoefu aisee wa hizi kazi a vipi kama nikipata mjuzi aliewahi kufanya interview akanipa dondoooo za maswali na utaratibu mzima wa kufanya interview tpb pia maswali kuhusu hiyo nafasi
Shukrani sana wakuu
Sent using Jamii Forums mobile app
kama buku hiviInterview inawatu wengi kweli kweli
Kama kazi ni ya sales, basi lazima maswali yatabase humo humo kwenye sales.Wakuu habari zenu ?nimetumiwa sms kuna interview ya bank ya posta position ni sales executive
Vipi kwa wazoefu aisee wa hizi kazi a vipi kama nikipata mjuzi aliewahi kufanya interview akanipa dondoooo za maswali na utaratibu mzima wa kufanya interview tpb pia maswali kuhusu hiyo nafasi
Shukrani sana wakuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nashukuru mkuu kwa majibu mazuri kwakua wamesema itaanza saa nne ngoja ni gugo fasta fastaKama kazi ni ya sales, basi lazima maswali yatabase humo humo kwenye sales.
Lazima ujue what is selling, Selling processes lazima uzijue mfano, Prospecting, Lead qualifying, Sales Presentation, Handling objections, closing sales, After sales services nk.
Nenda ugoogle document ya sales and sales force management usome. Soma vizuri mambo ya sales uyajue.
Pia google kuhusu bank ya Posta uijue. Jua kuwa benki hii imeunganishwa na bank nyingine mbili ambazo ni Benki ya Wanawake na Benki ya Twiga.
Jua madhumuni ya bank ya Posta, ambayo ya kwanza ni savings mobilization. Kazi ya benki ya posta ni kuiwezesha jamii kusevu pesa kwa kutumia savings accounts. Nyingine ni kutoa mikopo.
Jua kuwa wewe kazi yako itakuwa ni kuhamasisha watu waweke pesa na pia waje kuchukua mikopo.
All the best...Nashukuru mkuu kwa majibu mazuri kwakua wamesema itaanza saa nne ngoja ni gugo fasta fasta
Google kuhusu hiyo bank uifahamu angalao mision yake na vision yake. Angalia product wanazozitoa uzijue kiasi fulani. Kuna maswali kama umeifahamuje TPB, kwa nini unaitaka hii kazi, strength na weakness zako, umewahi kufanya nini kikaleta mafanikio, umewahi kukutana na changamoto gani na ukaisolve vipi, where do you see yourself in five years. Haya maswali ni common most banksWakuu habari zenu ?nimetumiwa sms kuna interview ya bank ya posta position ni sales executive
Vipi kwa wazoefu aisee wa hizi kazi a vipi kama nikipata mjuzi aliewahi kufanya interview akanipa dondoooo za maswali na utaratibu mzima wa kufanya interview tpb pia maswali kuhusu hiyo nafasi
Shukrani sana wakuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna namna ni kukomaa tu ukigairi utawarahishia kazi sasa bora kama hao 6 wanapata basi tutoke jasho woteAisee natamani nighail recture room yenye seat 378 imejaa watu wanaotakiwa ni 6 tuu, just imagine
Mkuu mbona sikuoni walau tupeane moyo au Upo unagoogle????Hakuna namna ni kukomaa tu ukigairi utawarahishia kazi sasa bora kama hao 6 wanapata basi tutoke jasho wote
Nilikua na gugo mkuu sema faah huli pepa Mungu anahitajika zaidi kuliko uwezoMkuu mbona sikuoni walau tupeane moyo au Upo unagoogle????
Sasa mkuu unataka uwe pekeyako boss pambana wasomi wengi kwa sasa we jiangalie wewe na usianze kuweka hizo dhana jiamini kama hujiamini nani atakuamini.Aisee natamani nighail recture room yenye seat 378 imejaa watu wanaotakiwa ni 6 tuu, just imagine
Almost the same ni kutokana tu na taasisi husika ilivyoamua kuwaitaHivi sales executive si sawa sawa tu na DSA(direct sales agency)....