Naomba msaada kuhusu laptop yangu

Naomba msaada kuhusu laptop yangu

Phinenicke

Member
Joined
Nov 21, 2014
Posts
15
Reaction score
3
Habari wana jf. naomba mnisaidie nina laptop yangu nikiweka wimbo au movie haitoi sauti kabisa, ila nikiweka earphone sauti inasikika. nifanyeje ili sauti itoke? na ilikuwa inatoa sauti tatizo limeanza muda c mrefu. Ahsanteni
 
Hypothesis ya kwanza labda umezima sauti bila kujua, fanya kutafuta control panel uangalie settings za sauti.

Hypothesis ya pili inaweza kua speaker zako ndo zimekufa, kama speaker zimekufa mtafute fundi laptop akubadilishie.

Test hizo hypothesis kwanza.
 
Ahsante, ila hypothesis ya kwanza nimejaribu mara nyingi nimekuta setting za sauti zipo sawa. may be hiyo ya pili
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom