Kalunguine
JF-Expert Member
- Jul 27, 2010
- 2,543
- 134
wanajamii nina tatizo hasa pale ninapochange ip address pamoja na port kwenye browser (mozilla) na kutumia zile za marekani mashine inakuwa na internet access lakini haifungui web page na inanipa message " The proxy server is refusing connections" nashindwa kuelewa kama ni windows related problem au browser related problem. natumia window 7 ultimate na browser ni yahoo_firefox_8.0_setup_us. wadau naomba msaada nifanyeje?