Naomba msaada jinsi ya kutuma email

Naomba msaada jinsi ya kutuma email

RIKAB

Member
Joined
Aug 13, 2012
Posts
47
Reaction score
2
Najaribu kutuma email lakini cha kushangaza haziwi delivered kwa mhusika bali zinanirudia kwenye email yangu.. msaada tafadhari
 
Najaribu kutuma email lakini cha kushanganza haziwi delivery kwa mhusika bali zinanirudia kwenye email yangu.. msaada plz
  • Hakikia email ya mtu unayemtumia
  • Huwa ni kawaida email kukurudiwa iwapo kuna kosa katika email husika.
  • Soma maelezo yanayojitokeza kwenye email iliyo kurudia
 
Back
Top Bottom