Ila ungetuambia nini kimekusibu hadi kujitoa ingekuwa vizuri zaidi
sio mbaya tukijua na sisi mana ndo wadau humuHuo ni uchokochoko sasa.
Nenda kwenye 'help' af andika maneno aliyosema mdau hapo.....that's how I deleted mine
Nielewavyo ni kwamba sample zimepelekwa nje kwa uchunguzi, ili tujue ni nini kiliwaua hao dolphins. Tusubiri majibu ya uchunguzi kabla ya kuwacharukia Wamarekani.
Utalii ni uti wa mgongo wa uchumi wa Zanzibar. Kitu cho chote kinachoharibu ufukweni Zanzibar ni tishio kwa usalama wao (na wetu).
Nadhani watu independent kama Green Peace nao wangealikwa kuchunguza kinachendelea. Waziri Mwandosya ndiye anahusika, na naamini ataweza kushughulikia kikamilifu.
Augustine Moshi
kumbee mi nlikia sijui nikaacha tu huu mwaka siingii
ngoja nijitoe kabisa
Una sababu yoyote ya msingi kujitoa au ulikuwa unaimis use sasa vidumu vimepangana uko Facebook imegeuka msala kwako?
Facebook moja ya faida ninazopata niko friend na Bill gates huwa anatupa zawadi nzuri za vitabu na kwa vijana wa Africa niko one page na Uhuru Kenyatta ni full maakili.
Ndio maana najiuliza nyinyi mpo Facebook? Au ndio mnaolike page za kina Wema Sepetu na Diamond?
Hadi mtu akaamua kujitoa ana sababu za msingi...na inawezekana ameona hasara ni nyingi kuliko faida. Mimi mwenyewe sikuwahi kufikiria kama itafika siku nijitoe fb maana imenikutanisha na watu wengi....nimejua vitu vingi na hata mafanikio kiduchu niliyonayo haya yamesababishwa na interaction nliyofanya facebook but it reached a time nikaona no way out....
Tuko hapa kubadilishana uzoefu kama huwezi kutoa sababu basi huna haja ya kutueleza lolote maelezo yako yanakuwa irellevant.