G.T.L
JF-Expert Member
- Jul 15, 2012
- 777
- 1,267
Wakuu, habari za majukumu.
Naombeni msaada wa maelekezo jinsi ya kujisajili NACTE na kufanya Application ya chuo kwa intake ya March/April. Nahitaji kuomba nafasi ya Diploma 2018/2019 kozi ya Afya. Maana nimejaribu kuingia Web ya NACTE Ila sijafanikiwa kabisa, atakaye nisaidia kwa hili hawezi kukosa pesa ya Maji ya kunywa.
Karibuni Kwa Msaada.
Naombeni msaada wa maelekezo jinsi ya kujisajili NACTE na kufanya Application ya chuo kwa intake ya March/April. Nahitaji kuomba nafasi ya Diploma 2018/2019 kozi ya Afya. Maana nimejaribu kuingia Web ya NACTE Ila sijafanikiwa kabisa, atakaye nisaidia kwa hili hawezi kukosa pesa ya Maji ya kunywa.
Karibuni Kwa Msaada.