Naomba msaada jinsi ya kufanya Factory reset tecno P5

Naomba msaada jinsi ya kufanya Factory reset tecno P5

Osaba

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2011
Posts
1,942
Reaction score
802
Kila nikijaribu kufanya factory reset ya hii simu kwa kutumia njia ya kawaida yaani up, down na off, on button inashindwa ku wipe all data yaani inarudi kwenye hali yake ya awali ambayo imefungwa kwa password mwenyewe kasahau namba za kufungulia anaejua kwa kutumia pc msaada plz.


Sent from my iPhone 4S using JamiiForums
 
Amesahau na email na password ya email yake? Maana email ndio inatumika kurekebisha hiyo hali.
 
Hawezi kufanya chochote sababu imefungwa na password


Sent from my iPhone 4S using JamiiForums
 
hold volume app then ikitokea menu then wipe au ikitokea no command press power button then wipe
 
hold volume app then ikitokea menu then wipe au ikitokea no command press power button then wipe

Vyote nimefanya lkn imekataa


Sent from my iPhone 4S using JamiiForums
 
ukihold hizo key inatokea nin

Inatokea hizo options za wipe data and factory reset lakini ukiicomand haifanyi chochote zaidi ya kuzima na kuwaka na kuwa kama mwanzo


Sent from my iPhone 4S using JamiiForums
 
shuka chini kutumia volume up ilakuselect jaribu kutumia volume up au power button au menu key hyo button ya mwisho kulia ipo kama box hivi
 
shuka chini kutumia volume up ilakuselect jaribu kutumia volume up au power button au menu key hyo button ya mwisho kulia ipo kama box hivi

Nishafanya hivyo lakini haifanyi chochote


Sent from my iPhone 4S using JamiiForums
 
Nipe msaada nitaelewa cha kufanya coz am technician


Jifanye mjinga uelekezwe sio unaelekezwa na wewe unajifanya mjuaji.
Sasa kama ni technician mbona hilo tatizo dogo hivyo limekushinda.
 
Nipe msaada nitaelewa cha kufanya coz am technician


Jifanye mjinga uelekezwe sio unaelekezwa na wewe unajifanya mjuaji.
Sasa kama ni technician mbona hilo tatizo dogo hivyo limekushinda.

Kama wee ni fundi ungeelewa sentensi yangu inamaanisha nini kama sio fundi shut the f.uck up!


Sent from my iPhone 4S using JamiiForums
 
Back
Top Bottom